Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 8:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Watu wa Ai walipoangalia nyuma, wakaona moshi ukitoka katika muji ukipanda mpaka mbinguni. Nao hawakukuwa na uwezo wa kukimbia upande wowote, maana Waisraeli waliwageukia wale waliokuwa wanawafuatilia.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 8:20
14 Referans Kwoze  

Nao wakasema tena: “Mungu asifiwe! Moshi wa moto unaoteketeza ule muji mukubwa unapanda juu kwa milele na milele!”


Wafalme wa dunia waliozini nao na kujifurahisha pamoja nao wataulilia na kuufanyia kilio wakati watakapoona moshi wa moto utakaouteketeza ukipanda juu.


Itawaka usiku na muchana bila kuzimika, moshi wake utapanda juu milele. Inchi itakuwa jangwa siku zote, hakuna atakayepitia huko milele.


Ee Mungu, wewe unatukuzwa sana; unajaa utukufu kuliko milima ya milele.


Lakini waovu macho yao yatafifia, njia zote za kutorokea zitawapotea; tumaini lao la mwisho ni kukata roho!


Akiwa pale, akatazama chini pande za Sodoma na Gomora na eneo lote la bonde, akashangaa kuona moshi ukipanda, moshi kama wa furu kubwa.


Mara tu Yoshua alipouelekeza mukuki wake kule Ai, kundi lililokuwa likivizia upande mwingine likatoka na kuingia katika muji. Likauteka muji na kuuteketeza kwa moto.


Yoshua na Waisraeli wote walipoona kwamba kundi lililokuwa linavizia limeuteka muji, na kwamba moshi ulikuwa unapanda juu, waliwageukia na kuanza kuwaua.


Walikuwa wamekubaliana na wale watu wengine wa Israeli juu ya kitambulisho kimoja. Walikubaliana kwamba wale waliokuwa wanajificha watakapoona moshi mukubwa unapanda juu kutoka katika muji,


Lakini kile kitambulisho cha moshi kilipoanza kutokea katika muji, watu wa kabila la Benjamina wakaangalia nyuma yao, wakashangaa kuona kwamba muji wao ulikuwa unateketezwa kwa moto.


Halafu Waisraeli wakageuka kwa kupigana, na watu wa kabila la Benjamina wakashikwa na woga maana sasa waliona kwamba kuangamia kwao kulikuwa kumekaribia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite