Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wale watu wenye silaha wakawatangulia wale makuhani ambao walikuwa wanapiga mabaragumu, na walinzi wengine wakifuata nyuma ya Sanduku hilo, nayo mabaragumu yakilia kwa mufululizo.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 6:9
6 Referans Kwoze  

Wale makuhani saba wenye mabaragumu saba ya kondoo dume walitembea mbele ya Sanduku la Yawe wakipiga mabaragumu kwa mufululizo. Watu wenye silaha walilitangulia Sanduku la Yawe na walinzi wengine nyuma yake. Mabaragumu yakaendelea kupigwa.


Mukifanya hivyo mutaonekana kama mwangaza wa mapambazuko, na mutapona haraka. Matendo yenu mema yatawatangulia, nami nitawalinda kutoka nyuma kwa utukufu wangu.


Mwisho, wale waliokuwa chini ya bendera ya jeshi lililoongozwa na kabila la Dani, waliokuwa kama walinzi nyuma ya majeshi yote, wakasafiri, kundi moja nyuma ya lingine. Hawa waliongozwa na Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Kulingana na amri ya Yoshua, wale makuhani saba waliokuwa na mabaragumu saba ya kondoo dume wakaenda mbele ya Yawe, wakiwa wanapiga mabaragumu, nyuma yao wakifuatwa na lile Sanduku la Agano.


Lakini Yoshua akawaamuru watu: “Musipige kelele au kutoa sauti, wala neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu, mpaka siku ile ambapo nitawaambia mupige kelele; wakati ule ndipo mutakapopiga kelele.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite