Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 6:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Basi, wale vijana wapelelezi wakaenda; wakamuleta Rahabu, baba yake na mama yake, wandugu zake na watu wote wa jamaa yake, wakawaweka inje ya kambi ya Israeli.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 6:23
15 Referans Kwoze  

Kwa njia ya imani, Noa alionywa na Mungu juu ya mambo yatakayotokea, yale aliyokuwa hajayaona bado. Yeye alimutii Mungu na kujenga chombo kwa kujiokoa yeye mwenyewe pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo yote akahukumu dunia na kupokea haki inayopatikana kwa njia ya imani.


Kwa wakati ule mulikuwa mumetengwa mbali na Kristo. Hamukukuwa kati ya watu waliochaguliwa na Mungu, mulikuwa wageni kati yao. Ninyi hamukukuwa na pato lolote katika agano zile Mungu alizotoa katika ahadi yake kwa watu wake. Muliishi katika dunia pasipo tumaini wala kumujua Mungu.


Basi si kazi yangu kuhukumu wale wanaokuwa wa inje ya kanisa. Mungu ndiye atakayewahukumu. Lakini ninyi hamupaswi kuhukumu watu wa kanisa lenu? Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Mumwondoe mutu yule mubaya toka katikati yenu.”


na kuniambia: ‘Paulo, usiogope! Sherti usambe mbele ya Mufalme wa Roma. Na tena kwa kuwa inamupendeza Mungu kukutendea mema, yeye ataokoa maisha ya watu hawa wote wanaosafiri pamoja nawe.’


Akawaambia: “Ninyi munajua wazi kama katika Sheria ya dini yetu inakatazwa kwa Muyuda kushirikiana na mutu wa taifa lingine wala kumutembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba haifai kumuhesabia mutu yeyote kuwa muchafu wala mutengwa.


Wote wale wanaokuwa kati yenu ambao wameua mutu au kugusa maiti wanapaswa kukaa inje ya kambi kwa muda wa siku saba; mujitakase pamoja na mateka wenu katika siku ya tatu na ya saba.


Labda kuna watu wa haki makumi tano katika muji. Utauangamiza muji muzima kuliko kuuacha kwa sababu ya wale wa haki makumi tano wanaokuwa mule?


Nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, nitakubariki na kutukuza jina lako, nawe utakuwa baraka.


Tutakapokuja katika inchi hii, funga kamba hii nyekundu kwenye dirisha ambalo umetuteremushia. Uwakusanye hapa kwako baba yako, mama yako na kaka zako na jamaa yote ya baba yako.


Muahidi kwamba mutamwacha baba yangu na mama yangu, kaka zangu na dada zangu, na jamaa yao yote; hamutakubali tuuawe!”


Mungu alipoangamiza miji katika bonde ambamo Loti alikuwa anakaa, alimukumbuka Abrahamu kwa kumutosha Loti katika miji hiyo, kusudi Loti asiangamizwe pamoja nayo.


Kwa njia ya imani, Rahaba, yule kahaba, hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wapelelezi kwa amani.


Akawaambia: “Mwende kwenye mulima kusudi wale wanaowafuatilia wasiwakamate. Mujifiche kule kwa muda wa siku tatu, mpaka wale wanaowafuatilia watakapokuwa wamerudi katika muji. Kisha mutaweza kujiendea.”


Akawaonyesha njia ya kuingia katika muji. Basi, wakaingia na kuangamiza kila mutu aliyekuwa mule. Lakini wakamwacha salama mutu yule na jamaa yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite