Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wanaume wote walipokwisha kutahiriwa walikaa katika kambi mpaka walipopona.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 5:8
3 Referans Kwoze  

Kisha siku tatu, waliotahiriwa wakiwa wangali na maumivu makali, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, kaka za Dina, wakatwaa panga zao, wakashambulia muji kwa rafla na kuwaua wanaume wote.


Kwa hiyo ilikuwa watoto wa watu hao ambao Yawe aliowakomalisha kwa pahali pao. Na ni hao ndio Yoshua aliowatahiri, maana hawakukuwa wanatahiriwa wakati ule walipokuwa katika safari ndani ya jangwa.


Kisha Yawe akamwambia Yoshua: “Leo hii nimewaondolea ile haya ya Misri.” Hivyo pahali pale pakaitwa Gilgali mpaka hivi leo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite