Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 4:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Hao makuhani waliokuwa wanabeba lile Sanduku la Agano la Yawe walipotoka katikati ya muto Yordani, na kukanyaga ukingo wa muto, maji ya muto Yordani yakaanza kutiririka tena, na kufurika kama mbele.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 4:18
8 Referans Kwoze  

Na mara tu hao waliobeba Sanduku la Agano walipofika Yordani na miguu yao ilipokanyaga kwenye ukingo wa muto ule (muto Yordani unafurika wakati wa mavuno),


Utaingia ndani ya inchi ya Yuda kwa nguvu na kufurika na kupanda mpaka kwenye shingo. Utaenea juu ya inchi yako yote, ee Emanueli!


Hao watu wa kabila la Gadi walikuwa wakubwa wa waaskari. Kulingana na vyeo vyao, mudogo alisimamia kundi la waaskari mia moja, na mukubwa alisimamia kundi la waaskari elfu moja.


Wakati miguu ya makuhani wanaobeba Sanduku la Agano la Yawe, Bwana wa dunia yote, itakapoingia katika maji ya muto Yordani, maji ya muto huo yataacha kutiririka. Na yale yatakayokuwa yanatiririka kutoka upande wa juu yatajikusanya pamoja kama lundo.”


Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani: “Mutoke katika muto Yordani.”


Waisraeli walivuka muto Yordani katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, wakapiga kambi kule katika muji wa Gilgali, upande wa mashariki wa Yeriko.


na watu wote walipokwisha kuvuka, wale makuhani wakawatangulia na lile Sanduku la Agano la Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite