Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 4:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani: “Mutoke katika muto Yordani.”

Gade chapit la Kopi




Yoshua 4:17
6 Referans Kwoze  

Walipokwisha kuwapiga sana, wakawatia ndani ya kifungo na kumwagiza mulinzi wa kifungo awachunge kabisa.


Basi, mufalme Nebukadneza akaukaribia mulango wa furu la moto mukali, akaita: Sadiraki, Mesaki na Abedenego, watumishi wa Mungu Mukubwa, mutoke mukuje hapa! Sadiraki, Mesaki na Abedenego wakatoka ndani ya moto.


“Uamuru makuhani wanaobeba sanduku la agano, watoke katika muto Yordani.”


Hao makuhani waliokuwa wanabeba lile Sanduku la Agano la Yawe walipotoka katikati ya muto Yordani, na kukanyaga ukingo wa muto, maji ya muto Yordani yakaanza kutiririka tena, na kufurika kama mbele.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite