Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 24:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Nyuma nikawatuma Musa na Haruni, nikailetea inchi ya Misri mapigo, na kisha nikawatoa ninyi katika inchi ile.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 24:5
13 Referans Kwoze  

Sasa, nitakutuma kwa mufalme wa Misri kusudi uwatoe watu wangu, watu wale wa Israeli, kutoka katika inchi ya Misri.”


Aliwaua wazaliwa wa kwanza wa Misri. Wema wake unadumu milele.


Siku hiyohiyo Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri kwa makundi.


Waisraeli waliondoka katika muji wa Ramesesi, wakasafiri kwa miguu kuelekea Sukoti. Walikuwa wanaume yapata elfu mia sita, bila kuhesabu wanawake na watoto.


Niliwatoa wazee wenu kutoka Misri na kuwaleta mpaka kwenye bahari Nyekundu. Wamisri waliwafuatilia wakiwa na magari na waaskari wapanda-farasi.


Ndio haohao Musa na Haruni walioongea na mufalme wa Misri, juu ya kuwatoa Waisraeli kutoka inchi ya Misri.


Katika siku ya mwisho ya mwaka wa mia ine na makumi tatu, siku ileile ndipo makabila yote ya Yawe yaliondoka katika inchi ya Misri.


Basi akawaondoa watu wake katika inchi, wachaguliwa wake wakaimba na kushangilia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite