Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 24:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 naye Isaka nikamupa Yakobo na Esau. Nilimupa Esau milima ya Seiri airizi. Lakini Yakobo na watoto wake walikwenda Misri.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 24:4
9 Referans Kwoze  

musipigane nao kwa sababu sitawapa sehemu yoyote ya inchi yao. Sitawapa hata pahali padogo pa kukanyaga. Inchi hiyo ya milima ya Seiri nimewapa wazao wa Esau ikuwe mali yao.


Kwa hiyo, Esau akakwenda kukaa katika inchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.


Halafu Yakobo akashuka kwenda Misri, naye akakaa kule pamoja na babu zetu.


Halafu Israeli akaingia katika inchi ya Misri; Yakobo akakuwa mugeni katika inchi ya Hamu.


Yakobo alipowaona, akasema: “Hii ni kambi ya jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akaita pahali pale “Kambi mbili”.


Watoto ni urizi kutoka kwa Yawe; uzao ni zawadi yake kwetu sisi.


Hawa ndio wazao wa Esau, baba ya Waedomu katika inchi ya milima ya Seiri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite