Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 23:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kwa hiyo, mukuwe imara katika kushika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Musa, musiyaache hata kidogo.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 23:6
14 Referans Kwoze  

bila kugeuka kuume au kushoto kwa kufuata miungu mingine na kuitumikia.


“Ninyi mukuwe waangalifu mufanye kama vile Yawe alivyowaamuru. Mutimize kila kitu sawasawa.


Kwa maana katika vita munayofanya kwa kushinda zambi, hamujapigana bado mpaka kufa.


bila kujitukuza mwenyewe juu ya wandugu zake, wala kuiweka kando amri hii kwa namna yoyote, kusudi aweze kudumu katika utawala, yeye na wazao wake katika Israeli.


Lakini watu wenye woga, wasioamini, wenye machukizo, wauaji, wazinzi, wachawi, wanaoabudu sanamu na wote wanaosema uongo, fungu lao ni katika lile ziwa la moto na ndani ya mawe ya kiberiti yanayowaka moto. Hiki ndicho kifo cha pili.”


Mukeshe, musimame imara katika imani, mukuwe hodari na wenye nguvu.


Kila mutu ajiepushe na jirani yake, wala asimwaminie ndugu yake! Maana ndugu ni mudanganyifu na kila jirani ni musingiziaji.


sitavumilia hata kidogo mambo ya upuuzi. Ninachukia matendo ya watu wapotovu, mimi sitaambatana nayo.


Sikugeuka mbali na maamuzi yako, maana wewe mwenyewe ulinifundisha.


Timiza maagizo ya Yawe, Mungu wako, ufuate njia zake na kushika masharti yake, amri zake, maagizo yake na maamuzi yake kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Musa. Kwa hiyo, utafanikiwa katika kila jambo unalofanya na kokote unakoenda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite