Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 23:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Inchi za mataifa yaliyobaki na yale niliyoyaangamiza nimewagawanyia zikuwe mali ya makabila yenu, kutoka Yordani mpaka bahari ya Mediteranea, upande wa magaribi.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 23:4
9 Referans Kwoze  

Kule Shilo, Yoshua akazipigia kura sehemu hizo mbele ya Yawe, akawagawanyia Waisraeli; kila kabila na sehemu yake.


Sehemu hizo ni: inchi yote ya Wafilistini na inchi yote ya Wagesuri,


Lakini nitawaondoa kidogokidogo mpaka pale mutakapoongezeka na kurizi ile inchi.


“Yawe, Mungu wenu ataangamiza mataifa mbele yenu, hayo ambayo munakwenda kuyafukuza, kuyatoa na kukaa katika inchi yao.


sitayafukuza tena mataifa ambayo Yoshua aliyaacha, wakati alipokufa.


Alifukuza mataifa mbele yao, akatoa inchi zao zikuwe mali ya Israeli, akaikalisha makabila ya Israeli katika mahema zao.


Alisema: “Nitawapa inchi ya Kanana, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”


Yawe anasema: Nimeyateketeza kabisa mataifa; kuta zao za kujikinga ni mabomoko. Barabara zao nimeziharibu, na hakuna anayepita ndani yake. Miji yao imekuwa mitupu, bila watu, na bila wakaaji.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite