Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 22:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Basi, watu wa Israeli wakamutuma Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, kule Gileadi kwa makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 22:13
15 Referans Kwoze  

Basi, Finehasi mwana wa Eleazari mujukuu wa kuhani Haruni alipoona hayo, akasimama, akatoka, akatwaa mukuki


Finehasi mwana wa Eleazari mwana wa Haruni alikuwa na kazi ya kutumika mbele yake. Waisraeli wakamwuliza Yawe: “Twende tena kupigana na wandugu zetu, watu wa kabila la Benjamina?” Yawe akawaambia: “Muende. Kesho nitawatia katika mikono yenu.”


Eleazari mwana wa Haruni, alimwoa mumoja wa wabinti za Putieli, naye akamuzalia Finehasi. Hawa ndio waliokuwa wakubwa wa jamaa za Lawi.


“Kama ndugu yako akikukosea, umwendee kwa kumwonyesha kosa lake, mukiwa ninyi wawili peke yenu. Na kama akikusikia, unarudiliana na ndugu yako.


Mipango mizuri inafanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita inafaa kufikiri kwanza.


Watu wa makabila ya Israeli wakatuma wajumbe mpaka kila sehemu ya kabila la Benjamina, wakisema: “Ni uovu gani huu uliotukia kati yenu?


kwamba watu fulani wa ovyo ovyo kati yenu, wamewashawishi watu wa muji wakisema: ‘Twende tuabudu miungu mingine’, ambayo bado hamukujua,


Musa akawapeleka kwa vita chini ya uongozi wa Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akiwa na vyombo vya Pahali Patakatifu na baragumu za kutoa kitambulisho.


Naye Eleazari mwana wa Haruni, akakufa na kuzikwa Gibea, muji ambao mwana wake Finehasi alikuwa amepewa katika inchi ya milima ya Efuraimu.


Makabila ya Rubeni na Gadi yalikuwa na mifugo mingi sana. Basi, walipoona kwamba eneo la Yazeri na Gileadi lilifaa kwa mifugo,


Finehasi mwana wa Eleazari, alikuwa musimamizi wao, zamani, Yawe alikuwa pamoja naye.


mwana wa Abisua mwana wa Finehasi mwana wa Eleazari mwana wa Haruni, Kuhani Mukubwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite