Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 21:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Katika eneo la kabila la Nafutali walipewa Kedesi, muji wa kukimbilia usalama unaokuwa kule Galilaya pamoja na mbuga zake za malisho, Hamoti-Dori pamoja na mbuga zake za malisho na Kartani pamoja na mbuga zake za malisho. Kwa jumla, miji mitatu.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 21:32
8 Referans Kwoze  

Basi, kwa ajili hiyo wakaitenga miji ya Kedesi katika Galilaya kwenye milima ya Nafutali, Sekemu katika milima ya Efuraimu na Kiriati-Arba, ni kusema Hebroni, katika inchi ya milima ya Yuda.


Miji yao iliyokuwa na kuta ni: Zidimu, Zeri, Hamati, Rakati, Kinereti, Adama, Rama, Hazori, Kedesi, Edirei, Eni-Hazori, Ironi, Migdali-Eli, Horemu, Beti-Anati na Beti-Semesi. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na tisa pamoja na vijiji vyake.


mufalme wa Kedesi, mufalme wa Yokinamu muji unaokuwa kwenye mulima Karmeli,


Helkati pamoja na mbuga zake za malisho na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni mine.


Jumla ya miji ya jamaa mbalimbali za ukoo wa Gersoni ilikuwa kumi na mitatu pamoja na mbuga zao za malisho.


Siku moja akamwita Baraka mwana wa Abinoamu wa Kedesi katika inchi ya Nafutali. Alipokuja akamwambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anakuamuru hivi: ‘Kwenda ukusanye watu wako kwenye mulima Tabori, uchague watu elfu kumi kutoka makabila ya Nafutali na Zebuluni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite