Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 21:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Watu waliobaki wa ukoo wa Kohati, ambao vilevile ni watu wa ukoo wa Lawi walipewa miji katika eneo la kabila la Efuraimu.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 21:20
4 Referans Kwoze  

Hesiboni pamoja na mashamba yake ya malisho na Yazeri pamoja na mashamba yake ya malisho.


Watu wa ukoo wa Kohati waliobaki wakapewa miji kumi inayokuwa katika maeneo ya makabila ya Efuraimu, Dani na katika eneo la nusu ya kabila la Manase.


Miji yote ya wazao wa Haruni ambao walikuwa makuhani, ilikuwa kumi na mitatu pamoja na mbuga zao za malisho.


Jamaa zingine za ukoo wa Kohati zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efuraimu:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite