Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 21:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Anatoti pamoja na mbuga zake za malisho, Almoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni mine.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 21:18
8 Referans Kwoze  

Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mumoja wa makuhani wa muji Anatoti, katika inchi ya kabila la Benjamina.


Enyi watu wa Galimu, mupige kelele! Enyi watu wa Laisi, mutege sikio! Enyi wenyeji wa Anatoti, mujibu!


Hukoki pamoja na mashamba yake ya malisho, na Rehobu na malisho yake.


Mufalme Solomono akamwambia kuhani Abiatari: “Ondoka uende katika shamba lako, kule Anatoti. Unastahili kufa wewe. Lakini sasa, sitakuua kwa sababu ulilishugulikia Sanduku la Agano la Yawe ulipokuwa na baba yangu Daudi, ukateswa pamoja naye.”


Katika eneo la kabila la Benjamina walipewa miji mingine: Gibeoni pamoja na mbuga zake za malisho,


Miji yote ya wazao wa Haruni ambao walikuwa makuhani, ilikuwa kumi na mitatu pamoja na mbuga zao za malisho.


Abiezeri wa muji Anatoti; Mebunayi wa muji Husa:


Wengine walikaa Anatoti, Nobu, Anania,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite