Yoshua 20:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Mutu yeyote akimwua mutu bila kukusudia anaweza kukimbilia katika muji mumoja na hivyo anaweza kuepuka yule mutu anayekuwa na ruhusa ya kulipiza kisasi cha damu. Gade chapit la |
Yule mwanamuke akamwambia: “Tafazali, mufalme, uniombee kwa Yawe, Mungu wako, kusudi yule ndugu yangu ambaye angelipiza kisasi kutokana na mauaji ya mwana wangu hatafanya kosa lingine kubwa la kumwua yule mutoto wangu mwingine.” Mufalme Daudi akamwambia: “Kama vile Yawe anavyoishi, hakuna hata unywele mumoja wa mwana wako utakaoanguka chini.”