Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 19:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kura ya tano ilizipata ukoo za kabila la Aseri.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 19:24
8 Referans Kwoze  

Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa ukoo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Helkati, Hali, Beteni, Akisafu,


Eneo linalofuatana na la Dani, kutoka mashariki mpaka magaribi litakuwa la Aseri.


Na wana waliozaliwa na Zilpa, mujakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Aseri. Hao ndio wana wa Yakobo, aliozaa alipokuwa kule Padani-Aramu.


Watu wa kabila la Aseri hawakuwafukuza wakaaji wa miji ya Ako, Sidona, Alabu, Akizibu, Helba, Afika na Rehobu.


Kabila la Gileadi lilibaki ngambo ya Yordani. Kabila la Dani, kwa nini mulibaki ndani ya mashua? Kabila la Aseri lilitulia kule pembeni ya bahari, lilikaa katika kivuko chake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite