Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 19:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kura ya ine ilizipata ukoo za kabila la Isakari.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 19:17
8 Referans Kwoze  

Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa ukoo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Eneo lenyewe lilikuwa na miji ya: Yezereheli, Kesuloti, Sunemu, Hafaraimu, Sioni, Anaharati, Rabiti, Kisioni, Ebesi, Remeti, Eni-Ganimu, Eni-Hada na Beti-Pasesi. Vilevile, mupaka wao ulifika Tabori, Sahasuma, Beti-Semesi na kuishia kwenye muto Yordani. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.


Eneo linalopakana na kabila la Simeoni kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magaribi litakuwa eneo la kabila la Isakari.


Wana wa Lea walikuwa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuluni.


“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, anayejilaza kati ya mizigo yake.


Hata hivyo ugawanyaji wa inchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarizi kulingana na majina ya ukoo wao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite