Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 17:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Inchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini muji wa Tapua, ambao ulikuwa kwenye mupaka, ulikuwa mali ya wazao wa Efuraimu.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 17:8
6 Referans Kwoze  

Kutoka Tapua, mupaka ulikwenda upande wa magaribi hata kijito cha Kana na kuishia bahari ya Mediteranea. Hii ndiyo inchi watu wa kabila la Efuraimu waliyopewa kulingana na jamaa zao,


mufalme wa Tapua, mufalme wa Heferi,


Eneo la kabila la Manase lilianzia Aseri na kwenda hata Mikimetati upande wa mashariki ya Sekemu; halafu mupaka wao ukaendelea upande wa kusini mpaka kwenye inchi ya wakaaji wa Eni-Tapua.


Eneo linalopakana na eneo la Manase kutoka upande wa mashariki mpaka magaribi litakuwa la kabila la Efuraimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite