Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 17:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 kwa sababu wabinti wa Manase waligawanyiwa sehemu zao kama vile wanaume wa kabila lao walivyogawanyiwa. (Wazao wengine wa Manase walipewa inchi ya Gileadi.)

Gade chapit la Kopi




Yoshua 17:6
7 Referans Kwoze  

eneo la inchi kuanzia Mahanaimu mpaka kuingia katika inchi yote iliyokuwa ya mufalme Ogi katika Basani, pamoja na miji makumi sita ya Yairi,


nusu ya Gileadi, Astaroti, Edirei, ambayo ilikuwa ya mufalme Ogi wa Basani. Nusu ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, eneo hili walipewa kulingana na ukoo zao.


Kwa hiyo kabila la Manase liliongezewa sehemu mbili zaidi, ni kusema inchi ya Gileadi na Basani inayokuwa upande mwingine wa muto Yordani,


Eneo la kabila la Manase lilianzia Aseri na kwenda hata Mikimetati upande wa mashariki ya Sekemu; halafu mupaka wao ukaendelea upande wa kusini mpaka kwenye inchi ya wakaaji wa Eni-Tapua.


Tena, Musa alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na ukoo zake,


“Murudie kwenu na utajiri mwingi; ngombe wenu wote, feza, zahabu, shaba, chuma na nguo nyingi. Mugawanyane na wandugu zenu vitu vyote mulivyonyanganya kutoka kwa waadui zenu.” Musa alikuwa amepatia nusu ya kabila la Manase sehemu yao kule Basani. Naye Yoshua akaipatia nusu ya pili ya kabila lile sehemu yao kule upande wa magaribi wa muto Yordani kama vile alivyoyapatia makabila yale mengine.


Kisha eneo la kabila la Nafutali litafuata eneo la kabila la Manase, kutoka mashariki mpaka magaribi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite