Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 17:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 ingawa hata nyuma ya Waisraeli kuwa na nguvu zaidi, hawakuweza kuwafukuza, lakini tu waliwafanyisha kazi za kulazimishwa.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 17:13
13 Referans Kwoze  

Waefuraimu hawakuwafukuza Wakanana walioishi Gezeri. Wakanana hao waliendelea kukaa kati ya watu wa Efuraimu mpaka leo, wakiwa watumwa wa kuwafanyia kazi za kulazimishwa.


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Lakini muzidi kukomaa katika neema na katika kumujua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Asifiwe, sasa na hata milele! Amina.


Basi kwa kumaliza, musimame imara katika kuungana kwenu na Bwana kwa uwezo wa nguvu zake kubwa.


Kulikuwa vita ya muda murefu kati ya watu waliokuwa upande wa jamaa ya Saulo, na wale waliokuwa upande wa jamaa ya Daudi. Lakini Daudi alizidi kupata nguvu zaidi na zaidi, wakati upande wa Saulo ulizidi kuwa zaifu zaidi na zaidi.


Waamori waliendelea kuishi katika miji iliyokuwa katika kilima cha Heresi, Ayaloni na Salabimu. Lakini watu wa makabila ya Manase na Efuraimu waliwatawala Waamori na kuwatumikisha kazi za kulazimishwa.


Watu wa kabila la Nafutali hawakuwafukuza wakaaji wa muji wa Beti-Semesi au wakaaji wa Beti-Anati, lakini walikaa pamoja nao. Hata hivyo wenyeji wa miji hiyo walitumikishwa kazi za kulazimishwa.


Watu wa kabila la Zebuluni hawakuwafukuza wakaaji wa muji wa Kitironi, wala wale wa muji wa Nahalali, waliendelea kukaa pamoja nao wakiwatumikisha kazi za kulazimishwa.


Hata Waisraeli walipokuwa na nguvu hawakuwafukuza Wakanana lakini waliwapa kazi za kulazimishwa.


Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.


pamoja na wazao wao ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa, Solomono aliwatumikisha kazi za kulazimishwa hata leo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite