Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 16:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 pamoja na miji na vijiji ambavyo waliongezewa kutoka kwenye inchi ya kabila la Manase.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 16:9
6 Referans Kwoze  

Mupaka huo uliendelea mpaka kwenye kijito cha Kana. Miji iliyokuwa upande wa kusini ya Kana ilikuwa ya Waefuraimu hata ingawa ilikuwa katika inchi ya kabila la Manase. Halafu mupaka ukapita upande wa kaskazini ya kijito Kana na kuishia katika bahari ya Mediteranea.


Kutoka Tapua, mupaka ulikwenda upande wa magaribi hata kijito cha Kana na kuishia bahari ya Mediteranea. Hii ndiyo inchi watu wa kabila la Efuraimu waliyopewa kulingana na jamaa zao,


Waefuraimu hawakuwafukuza Wakanana walioishi Gezeri. Wakanana hao waliendelea kukaa kati ya watu wa Efuraimu mpaka leo, wakiwa watumwa wa kuwafanyia kazi za kulazimishwa.


Kule, Abeneri akamusimika Isiboseti kuwa mufalme wa inchi ya Gileadi, Asheri, Yezereheli, Efuraimu na Benjamina na Israeli yote.


Inchi zao na makao yao yalikuwa: Beteli na vijiji vyake, muji wa Narani uliokuwa upande wa mashariki, muji wa Gezeri uliokuwa upande wa magaribi pamoja na vijiji vyake, Sekemu na vijiji vyake, na Aya na vijiji vyake.


Eneo linalopakana na eneo la Manase kutoka upande wa mashariki mpaka magaribi litakuwa la kabila la Efuraimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite