Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 16:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kutoka Beteli, mupaka ulielekea Luzi ukapita Ataroti ambako Waarki waliishi.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 16:2
8 Referans Kwoze  

Kutoka kule, mupaka wake ulikwenda kusini kuelekea Luzi kupitia upande wa kusini wa Luzi, ni kusema Beteli, hata Ataroti-Adari, kwenye mulima unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni ya Chini.


Akaita pahali hapo Beteli, ni kusema “Nyumba ya Mungu”. Jina la mbele la muji ule lilikuwa Luzi.


Ahitofeli alikuwa mushauri wa mufalme. Ahitofeli alipokufa, alikombolewa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiatari. Husai Mwarki, alikuwa rafiki ya mufalme. Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi la mufalme.


Husayi wa inchi ya Arki, rafiki ya Daudi, akamwendea Abusaloma, akamwambia: “Uishi milele, ee mufalme! Uishi milele, ee mufalme!”


Daudi alipofika kwenye kichwa cha mulima, nafasi ya kumwabudia Mungu, mutu mumoja jina lake Husai kutoka inchi ya Arki alikuja kwa kumupokea, nguo zake zikiwa zimepasuka na juu ya kichwa chake kuna mavumbi.


Inchi zao na makao yao yalikuwa: Beteli na vijiji vyake, muji wa Narani uliokuwa upande wa mashariki, muji wa Gezeri uliokuwa upande wa magaribi pamoja na vijiji vyake, Sekemu na vijiji vyake, na Aya na vijiji vyake.


Basi, Husai, rafiki ya mufalme Daudi, akarudi katika muji wakati Abusaloma alipokuwa anaingia Yerusalema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite