Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 vilevile eneo la Gebali na Lebanoni upande wa mashariki ya Bali-Gadi chini ya mulima Hermoni mpaka Lebo-Hamati;

Gade chapit la Kopi




Yoshua 13:5
14 Referans Kwoze  

Lakini sasa, Yawe, Mungu wangu, amenijalia amani pande zote. Sina adui wala taabu.


Kisha Yoshua pamoja na Waisraeli waliwashinda wafalme wote wa eneo lote linalokuwa upande wa magaribi wa muto Yordani, kuanzia Bali-Gadi katika bonde la Lebanoni mpaka kwenye mulima uliokuwa mutupu wa Halaki upande wa kusini karibu na Seiri. Yoshua akayagawanyia makabila ya Israeli inchi hizo zikuwe mali yao kabisa.


Wazee wa Gebali na wafundi wao walikuwa wakiziba nyufa zako. Wachuuzi wa bahari waliokuwa wakipitia kwako walifanya biashara nawe.


Waedomu na Waisimaeli, Wamoabu na Wahagari;


aliwateka na kuwaua wafalme wote wa inchi hizo kuanzia kwenye mulima uliokuwa mutupu wa Halaki karibu na Seiri mpaka Bali-Gadi katika bonde la Lebanoni, upande wa kusini wa mulima Hermoni.


na kutoka mulima Hori, mpaka kwenye njia inayokwenda Hamati, na kuendelea mpaka Sedadi,


Muende Kalne, muangalie. Tokea kule muende mpaka katika ule muji mukubwa wa Hamati, kisha mutelemuke mpaka Gati kwa Wafilistini. Mutatambua kwamba ninyi si bora kuliko falme zile, hata kama eneo lao ni ndogo zaidi ya lenu.


Si kweli kwamba muji wa Kalno niliutendea kama vile wa Karkemisi, muji wa Hamati kama muji wa Arpadi, Samaria kama Damasiki?


Ninakuomba nivuke muto Yordani, niione inchi hiyo nzuri upande wa magaribi wa Yordani, hakika, inchi nzuri ya kupendeza ya milima, pamoja na milima ya Lebanoni’.


Sasa muvunje kambi yenu muendelee na safari. Muende kwenye inchi ya milima ya Waamori na maeneo ya inchi jirani katika Araba, kwenye milima na mabonde, huko Negebu na sehemu za pembeni ya bahari. Muende mpaka inchi ya Kanana, na inchi ya Lebanoni, mpaka kwenye ule muto mukubwa Furati.


Basi, watu hao wakaenda na kupeleleza inchi toka jangwa la Sini mpaka Rehobu, karibu na njia ya kuingilia Hamati.


Vilevile, akapeleka ujumbe kwa Wakanana waliokuwa pande za mashariki na magaribi, kwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wayebusi ambao walikaa katika milima na kwa Wahivi ambao walikaa chini ya mulima Hermoni katika inchi ya Misipa.


Naye Solomono kwa muda wa siku saba alifanya sikukuu pamoja na Waisraeli wote. Nao walitoka tangu kwenye kiingilio cha Hamati, mpaka muto wa Misri.


Basi Wakaldea walimukamata mufalme, wakamupeleka kwa mufalme wa Babeli kule Ribla, katika inchi ya Hamati, naye akamuhukumu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite