Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 eneo la inchi kuanzia Mahanaimu mpaka kuingia katika inchi yote iliyokuwa ya mufalme Ogi katika Basani, pamoja na miji makumi sita ya Yairi,

Gade chapit la Kopi




Yoshua 13:30
11 Referans Kwoze  

Vilevile kuanzia Hesiboni mpaka Ramati-Misipe, Betonimu, na kutokea Mahanaimu hata kwa mupaka wa Debiri.


Waisraeli wakageuka wakafuata njia inayoenda Basani. Mufalme Ogi wa Basani akatoka na jeshi lake kwa kuwashambulia huko Edirei.


Tena, Musa alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na ukoo zake,


kwa sababu wabinti wa Manase waligawanyiwa sehemu zao kama vile wanaume wa kabila lao walivyogawanyiwa. (Wazao wengine wa Manase walipewa inchi ya Gileadi.)


Yakobo alipowaona, akasema: “Hii ni kambi ya jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akaita pahali pale “Kambi mbili”.


Tukateka miji yake yote; hakuna hata muji mumoja ambao hatukuuteka. Kwa jumla tuliteka miji makumi sita, ni kusema eneo lote la Argobu ambalo lilitawaliwa na mufalme Ogi wa Basani.


Tukateka miji yote katika sehemu za mabonde, za mwinuko, na vilevile eneo lote la Gileadi na Basani mpaka Saleka na Edirei, miji ya mufalme Ogi huko Basani.”


Katika eneo la kabila la Gadi walipewa Ramoti wa Gileadi, muji wa kukimbilia usalama, pamoja na mbuga zake za malisho, Mahanaimu pamoja na mbuga zake za malisho,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite