Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 pamoja na inchi za Gileadi, eneo la Wagesuri na Wamakati mulima wa Hermoni na inchi yote ya Basani mpaka Saleka;

Gade chapit la Kopi




Yoshua 13:11
13 Referans Kwoze  

Lakini falme za Gesuri na Aramu ziliwashambulia na kuwanyanganya miji ya Yairi, Kenati pamoja na vijiji vyake, jumla ya miji ilikuwa makumi sita. Hao wote walikuwa wazao wa Makiri, baba ya Gileadi.


Walipoikaa kwa kula wakainua macho na kuona kundi la Waisimaeli wakisafiri kutoka Gileadi kwenda Misri. Ngamia wao walikuwa wakibeba ubani, zeri na manemane.


Ikiwa watu wa Gadi na wa Rubeni watavuka muto Yordani pamoja nanyi wakiwa na silaha zao chini ya uongozi wa Yawe, mukishinda na kuitwaa inchi hiyo, basi mutawapa inchi ya Gileadi ikuwe mali yao.


Tukateka miji yote katika sehemu za mabonde, za mwinuko, na vilevile eneo lote la Gileadi na Basani mpaka Saleka na Edirei, miji ya mufalme Ogi huko Basani.”


Vilevile, akapeleka ujumbe kwa Wakanana waliokuwa pande za mashariki na magaribi, kwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wayebusi ambao walikaa katika milima na kwa Wahivi ambao walikaa chini ya mulima Hermoni katika inchi ya Misipa.


Sehemu hizo ni: inchi yote ya Wafilistini na inchi yote ya Wagesuri,


pamoja na miji ya mufalme Sihoni wa Waamori, aliyetawala kule Hesiboni hata kwa mupaka wa Waamoni,


ilikuwa Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya inchi ya Waamoni mpaka Aroeri kwa upande wa mashariki wa Raba.


Kwa hiyo kabila la Manase liliongezewa sehemu mbili zaidi, ni kusema inchi ya Gileadi na Basani inayokuwa upande mwingine wa muto Yordani,


Kabila la Gadi lilikuwa na mupaka na kabila la Rubeni upande wa kaskazini, katika inchi ya Basani iliyoenea upande wa mashariki mpaka Saleka.


Wengine walivuka muto Yordani mpaka katika inchi ya Gadi na inchi ya Gileadi. Lakini Saulo alikuwa angali kule Gilgali pamoja na watu wote waliomufuata wakitetemeka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite