Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 12:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 mufalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni makumi tatu na mumoja.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 12:24
7 Referans Kwoze  

Menahemu mwana wa Gadi aliondoka Tirza kwenda Samaria, na kule akamupiga Salumu mwana wa Yabesi, kisha akatawala kwa pahali pake.


Omuri alianza kutawala katika mwaka wa makumi tatu na mumoja wa utawala wa Asa mufalme wa Yuda. Alitawala kwa muda wa miaka kumi na miwili. Miaka sita alikuwa anatawala akiwa katika muji wa Tirza.


Atawatia wafalme wao katika mikono yenu. Mutawaua, nao watasahaulika. Hakuna mutu yeyote atakayeweza kuwazuia, mpaka mutakapowaangamiza.


Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, alitawala miaka makumi tatu na mumoja akiwa kule Yerusalema.


Halafu, muke wa Yeroboamu akaondoka, akashika safari mpaka Tirza. Mara tu alipofika kwenye mulango, mutoto akakufa.


Hivyo, hao wazao wakakuja na kurizi inchi. Ulishinda Wakanana na kuwatia katika mikono yao. Watu wako waliweza kuwatendea vile walivyotaka wafalme na watu wa inchi hiyo.


kama vile Sihoni mufalme wa Waamori, Ogi mufalme wa Basani, na wafalme wote wa Kanana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite