Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 12:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 mufalme wa Tanaki, mufalme wa Megido,

Gade chapit la Kopi




Yoshua 12:21
7 Referans Kwoze  

Vilevile katika inchi ya kabila la Isakari na kabila la Aseri, kabila la Manase lilipatiwa miji ya Beti-Seani na Ibuleamu pamoja na vijiji vyake, na miji ya Dori, Eni-Dori, Tanaki na Megido pamoja na wakaaji na vijiji vyake; na sehemu moja ya tatu ya Nafati.


“Kule Tanaki, pembeni ya chemichemi za Megido, wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanana walipigana, lakini hawakuteka feza.


mufalme wa Simuroni-Meroni, mufalme wa Akisafu,


mufalme wa Kedesi, mufalme wa Yokinamu muji unaokuwa kwenye mulima Karmeli,


Katika eneo la nusu ya kabila la Manase walipewa Tanaki pamoja na mbuga zake za malisho na Gati-Rimoni pamoja na malisho yake. Jumla ya miji waliyopewa ni miwili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite