Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 10:42 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

42 Aliweza kuitwaa inchi hii yote kwa sababu Yawe, Mungu wa Israeli, aliwapigania Waisraeli.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 10:42
14 Referans Kwoze  

Hakujakuwa siku kama hiyo hata kidogo wala haijapata kuonekana tena, siku ambayo Yawe amemwitikia mwanadamu kwa namna hiyo; maana Yawe mwenyewe aliwapigania Waisraeli.


Mataifa yanakasirika na falme zinatikisika; Mungu ananguruma, nayo dunia inayeyuka.


mbele ya kabila la Efuraimu, la Benjamina na la Manase. Uonyeshe nguvu yako, ukuje kutuokoa!


Ninyi ni wa bei kali mbele yangu, ninawaheshimu na kuwapenda. Kwa hiyo, ninatoa watu kusudi niwapate ninyi, ninayaachilia mataifa pahali pa maisha yenu.


Yawe yuko nami, siogopi kitu; mwanadamu ataweza kunifanya nini?


Anasema: “Munyamaze na kujua kwamba mimi ni Mungu! Mimi ninatukuzwa katika mataifa yote; mimi ninatukuzwa katika ulimwengu wote!”


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora: Kwa mutindo wa Sauti ya juu kabisa.


maana Yawe, Mungu wenu, ndiye atakayekwenda pamoja nanyi kupigana kwa ajili yenu mbele ya waadui zenu na kuwapa ushindi’.


Alikwamisha magurudumu ya magari yao, yakakuwa yakienda kwa shida sana. Halafu Wamisri wakasema: “Tuwakimbie Waisraeli! Yawe anawapigania Waisraeli mbele yetu.”


Yawe atawapigania. Ninyi mutakaa kimya tu.”


Basi, Yoshua akarudi mpaka katika kambi kule Gilgali pamoja na Waisraeli wote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite