Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 10:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Wakauteka siku hiyohiyo na kuwaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Lakisi.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 10:35
5 Referans Kwoze  

Amenivunja pande zote, nami nimekwisha; tumaini langu ameliongoa kama muti.


na kuuteka. Wakawaua wakaaji wake wote pamoja na mufalme wao; waliiharibu kabisa miji mingine iliyouzunguka, wakawaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Eguloni.


Lakini, kwa hayo yote, wanapokuwa katika inchi ya waadui zao, mimi sitawatupa wala kuwachukia hata kuwaangamiza kabisa na kuvunja agano langu.


Kisha kutoka Lakisi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Eguloni, wakauzunguka muji ule na kuushambulia.


Halafu kutoka Eguloni Yoshua na Waisraeli wote wakaenda mpaka Hebroni, wakaushambulia


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite