Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 10:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Kisha kutoka Lakisi, Yoshua na Waisraeli wote walikwenda mpaka Eguloni, wakauzunguka muji ule na kuushambulia.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 10:34
5 Referans Kwoze  

Basi, Mufalme Adoni-Zedeki akapeleka ujumbe kwa mufalme Hohamu wa Hebroni, mufalme Piramu wa Yarmuti, mufalme Yafia wa Lakisi na mufalme Debiri wa Eguloni, akawaambia:


mufalme wa Eguloni, mufalme wa Gezeri,


Hapo, mufalme Horamu wa Gerezi akaamua kuja kuwasaidia watu wa Lakisi. Lakini Yoshua akamwua pamoja na watu wake wote, hakuacha hata mutu mumoja.


Wakauteka siku hiyohiyo na kuwaua wakaaji wake wote kama walivyofanya kule Lakisi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite