Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 10:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Wafalme hao walipoletwa, Yoshua akawaita Waisraeli wote na wakubwa wa waaskari waliokwenda naye kwa vita, akawaambia: “Mukuje karibu muwakanyage wafalme hawa kwenye shingo yao.” Nao wakasogea na kuwakanyaga kwenye shingo.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 10:24
18 Referans Kwoze  

Mungu, anayeleta amani, atamupondaponda sasa hivi Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo ikuwe pamoja nanyi.


Bwana wetu yuko karibu nawe; atawaponda wafalme atakapokasirika.


Zaburi ya Daudi. Yawe anamwambia bwana wangu: “Ikaa na mamlaka kwa kuume kwangu mpaka nitakapowaweka waadui zako chini ya miguu yako.”


aliwazarau wakubwa waliowatesa, akawazungusha katika jangwa lisilokuwa na njia.


Heri yenu ninyi Waisraeli. Nani anayekuwa kama ninyi, watu muliookolewa na Yawe, ambaye ndiye ngao ya musaada wenu, na upanga unaowaletea ushindi! Waadui zenu watakuja wananyenyekea mbele yenu, nanyi mutawakanyaga chini.”


Utakanyaga simba na nyoka wa hatari, utawaponda simba wakali na nyoka.


Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha waadui chini yangu.


Kisha akamwambia Yeteri, muzaliwa wake wa kwanza: “Simama, uwaue.” Lakini Yeteri akaogopa kutwaa upanga wake maana alikuwa angali kijana.


Mungu hakumwambia hata mara moja mumoja wa wamalaika wake hivi: “Ikaa na mamlaka kwa kuume kwangu, mpaka nitakapowaweka waadui zako chini ya miguu yako.”


Uliwakimbiza waadui zangu, na wale walionichukia niliwaangamiza.


Nami nitakitia katika mikono ya wanaokutesa, waliokuambia ulalie tumbo wapite juu yako, nawe ukaufanya mugongo wako kama vile udongo wa njia, kama vile barabara ya kupitia.


Niliwamaliza kabisa. Hawakuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite