Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yona 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini Mungu akamwuliza Yona: Unazani unafanya vema kuukasirikia mumea huo? Yona akajibu: Ndiyo, ninafanya vema kukasirika – kukasirika hata kufa!

Gade chapit la Kopi




Yona 4:9
13 Referans Kwoze  

Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au mawe yahamishwe toka pahali pake?


Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Delila alipoendelea kumusumbua sana Samusoni kwa maneno, siku kwa siku na kumwuzi hata akachoka ndani ya roho karibu kufa,


Na kwa muda ule, watu watatafuta kifo, lakini hakitawapata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.


Basi, huzuni inayosababishwa na Mungu inamuwezesha mutu kugeuka toka katika zambi. Na kugeuka kule, kunamuletea kuokoka. Kule kuokoka hakuleti majuto. Lakini huzuni inayosababishwa na mwanadamu inaleta kifo.


Halafu akawaambia: “Ninahuzunika sana, karibu kufa! Mubakie hapa na mukeshe pamoja nami.”


Angalia kasirani isikuvute kwa kuzarau, au usiache ukubwa wa mali za kukukomboa ukupotoshe.


Lakini jambo hilo halikumupendeza Yona hata kidogo, akakasirika sana.


Jua lilipotokea, Mungu akaleta upepo mukali kutoka upande wa jangwa, jua likamuchoma sana Yona juu ya kichwa, karibu azimie. Akatamani kufa, akisema: Ni vizuri kwangu kufa kuliko kuishi.


Basi Mungu akamwambia: Mumea huu uliota na kukomaa kwa usiku mumoja, na usiku uliofuata ukanyauka. Wewe haukuufanyia kitu chochote, wala haukuuotesha. Mbona unausikilia huruma?


Hapo, Ahabu akarudi kwake akijaa chuki na huzuni nyingi, kwa sababu Naboti wa Yezereheli alimwambia kwamba hatamupa kile alichorizi kutoka kwa wazee wake. Basi, akalala kwenye kitanda, akaficha uso wake na kukataa chakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite