Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yona 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Lakini jambo hilo halikumupendeza Yona hata kidogo, akakasirika sana.

Gade chapit la Kopi




Yona 4:1
7 Referans Kwoze  

Ndugu huyu mukubwa akakasirika na kukataa kuingia ndani ya nyumba. Basi baba yake akatoka inje na kumusihi aingie.


Lakini Mungu akamwuliza Yona: Unazani unafanya vema kuukasirikia mumea huo? Yona akajibu: Ndiyo, ninafanya vema kukasirika – kukasirika hata kufa!


Naye Yawe akamujibu Yona: Unazani kwamba unafanya vema kukasirika?


Sina haki ya kutumia mali yangu sawa ninavyotaka? Unapatwa na wivu kwa sababu mimi ni mwema?’ ”


Yule Mufarisayo aliyemwalika Yesu alipoona vile, akajisemesha: “Kama mutu huyu angekuwa kweli nabii, angetambua mwanamuke huyu anayemugusa ni wa namna gani. Angetambua kwamba yeye ni mwenye mwenendo mubaya.”


Halafu Paulo na Barnaba wakawaambia bila woga: “Ilitupasa kwanza kuhubiri Neno la Mungu kwenu. Lakini kwa kuona mumelikataa na kujihesabu ninyi wenyewe kwamba uzima wa milele haufai kwenu, basi tunashugulika na watu wa mataifa mengine.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite