Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yona 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha, Yawe akaamuru samaki mukubwa amumeze Yona, naye akabaki ndani ya tumbo la samaki huyo kwa muda wa siku tatu, usiku na muchana.

Gade chapit la Kopi




Yona 2:1
12 Referans Kwoze  

Akiniita, mimi nitamwitikia; akikuwa katika taabu nitakuwa pamoja naye, nitamwokoa na kumupa heshima.


Mungu aniue akitaka; sina la kupoteza. Hata hivyo nitautetea mwenendo wangu mbele yake.


Ee Yawe, walipotaabika walikutafuta, walikuomba musaada ulipowaazibu.


Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”


Kati yenu kuna mutu anayekuwa katika mateso? Aombe kwa Mungu. Au kuna mutu anayekuwa katika furaha? Aimbe nyimbo za sifa.


Nitarudi mahali pangu na kujitenga nao mpaka watambue kosa lao na kunirudilia. Taabu zao zitawafundisha wanitafute.


Kule, utapata maji ya kunywa katika kijito kile. Tena nimewaamuru vibombobombo wakuletee chakula.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite