Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yona 1:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Basi, wakamukamata Yona, wakamutupa ndani ya bahari na palepale bahari ikatulia.

Gade chapit la Kopi




Yona 1:15
10 Referans Kwoze  

Basi wanafunzi wake wakamujongelea, wakamwamusha wakisema: “Bwana, Bwana, tunakufa!” Yesu alipoamuka, akakaripia zoruba, nayo ikakoma na maji yakatulia.


Alituliza ile zoruba kali, nayo mawimbi yakanyamaza.


Ee Yawe, Mungu wa majeshi, ni nani mwenye nguvu kama wewe? Ee Yawe, uaminifu umekuzunguka pande zote.


Yesu akawajibu: “Sababu gani munaogopa kama hivi? Hakika imani yenu ni ndogo!” Halafu akasimama, akakaripia zoruba na maji na kukakuwa kimya kabisa ndani ya ziwa.


Kwa nguvu yako uliisimika milima pahali pake. Wewe una nguvu nyingi!


Basi, watu wa Daudi wakaizika mifupa ya Saulo na ya mwana wake Yonatani katika inchi ya Benjamina, kule Zela katika kaburi la Kisi baba ya Saulo. Walifanya kila kitu ambacho mufalme aliamuru. Nyuma ya hayo, Yawe akayakubali maombi kwa ajili ya inchi.


Labda Mungu atabadilisha nia yake, na kuacha kutukasirikia, nasi hatutaangamizwa!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite