Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoeli 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wanashambulia muji, wanakimbia juu ya ukuta; wanapanda juu ya nyumba na kuingia, wanapenya katika madirisha kama wezi.

Gade chapit la Kopi




Yoeli 2:9
5 Referans Kwoze  

Sema: Huu ni ujumbe wa Yawe: Maiti za watu zinalala chini kila pahali kama malundo ya mboleo katika mashamba, kama miganda iliyoachwa na muvunaji, wala hakuna anayeikusanya.


Yesu akasema: “Kweli, kweli ninawaambia: mutu asiyeingia kwa mulango wa upango wa kondoo, lakini anapandia na kuingilia nafasi ingine, yeye ni mwizi na munyanganyi.


Nzige wale watajaa katika nyumba zako, nyumba za wakubwa wako na za Wamisri wote. Watakuwa wengi kiasi ambacho hata wazee wenu hawajapata kuona tangu walipozaliwa, mpaka leo.’ ” Basi, Musa akatoka kwa mufalme wa Misri.


Hakuna anayemusukuma mwenzake; kila mumoja anafuata njia yake. Wanapita kati ya vizuizi vya silaha, wala hakuna kinachoweza kuwazuia.


Wale nzige wakaenea kila pahali katika inchi ya Misri, wakatua juu ya inchi yote. Nzige wale walikuwa kundi kubwa sana, kiasi ambacho hakijapata kutokea wala hakitatokea tena.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite