Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoeli 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wanashambulia kama mashujaa wa vita; wanapanda juu ya kuta kama waaskari. Wote wanakwenda mbele moja kwa moja, bila hata mumoja wao kubadilisha njia.

Gade chapit la Kopi




Yoeli 2:7
11 Referans Kwoze  

nzige hawana mufalme, lakini wote wanaenda pamoja kwa vikundi;


Wanashambulia muji, wanakimbia juu ya ukuta; wanapanda juu ya nyumba na kuingia, wanapenya katika madirisha kama wezi.


Mupande, mupite katika mashamba yake ya mizabibu, muharibu kila kitu lakini musivimalize kabisa. Mukate matawi yake, kwa maana hayo si yangu mimi Yawe.


Siku hiyo, Daudi alisema: “Mutu yeyote atakayewapiga Wayebusi apitie kwenye mufereji wa maji kwa kuwashambulia vilema na vipofu ambao roho yangu inawachukia.” Ndiyo maana watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia katika nyumba.”


Saulo na Yonatani, watu wema na wa kupendeza. Katika maisha na kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, wenye nguvu kuliko simba.


hata hivyo, ujumbe wao unaenea katika dunia yote, na habari zao zinafika miisho ya ulimwengu. Mungu amewekea jua makao yake katika anga;


Ananivunja na kunipiga tena na tena; ananishambulia kama askari.


Hakuna anayemusukuma mwenzake; kila mumoja anafuata njia yake. Wanapita kati ya vizuizi vya silaha, wala hakuna kinachoweza kuwazuia.


Kutoka kabila la Dani: watu elfu makumi mbili na nane mia sita wenye silaha tayari kwa vita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite