Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoeli 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mazao yetu yameharibiwa mbele ya macho yetu. Furaha na kicheko vimetoweka katika nyumba ya Mungu wetu.

Gade chapit la Kopi




Yoeli 1:16
11 Referans Kwoze  

Hapo, ee Mungu, nitakwenda kwenye mazabahu yako; nitakuja kwako, ee Mungu, wewe furaha yangu kubwa. Nitakusifu kwa zeze, ee Mungu, Mungu wangu.


Enyi makuhani, muvae magunia kwa kuomboleza, mulie, enyi munaotumika kwenye mazabahu. Muingie katika hekalu muomboleze usiku kucha! Sadaka za chakula na kinywaji zimetoweka katika nyumba ya Mungu.


Lakini siku hiyo atasema: Mimi siwezi kuwa muponyaji. Ndani ya nyumba yangu hamuna chakula wala nguo. Musinifanye mimi kuwa mukubwa wenu.


Mujisifu kwa ajili ya jina lake takatifu; wanaomutafuta Yawe wafurahi.


Wewe unataka moyo wa ukweli; hivyo unifundishe kuwa na moyo wa hekima.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite