Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 9:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Jirani zake na wale waliomwona zamani akiwa mwenye kuombaomba, wakasema: “Si mutu huyu ndiye yule aliyekuwa akiikaa chini na kuombaomba?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 9:8
9 Referans Kwoze  

Anawainua wazaifu toka katika mavumbi, anawanyanyua wakosefu toka katika majivu, na kuwaikalisha pamoja na wakubwa, na kuwarizisha viti vya heshima. Maana, minara ya dunia ni ya Yawe; yeye ameisimika dunia juu ya minara yake.


Yesu alipokaribia muji Yeriko, mutu mumoja kipofu alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba.


Wakafika Yeriko. Na wakati Yesu alipokuwa akitoka kule pamoja na wanafunzi wake na kundi kubwa la watu, mutu mumoja kipofu aliyeitwa Bartimayo mwana wa Timayo, alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba.


Siku hiyo, Daudi alimukimbia Saulo, akaenda kwa mufalme Akisi wa Gati.


Halafu wote wawili wakaendelea na safari mpaka Betelehemu. Walipofika kule, watu wote wakashangaa, hata wanawake wakaulizana: “Huyu ni Naomi?”


Wajirani zake na wandugu zake wa jamaa waliposikia jinsi Bwana amemusikilia huruma sana, wakafurahi wote pamoja naye.


Wamoja wakasema: “Ni yeye.” Lakini wengine wakasema: “Hapana, si yeye, anafanana naye tu.” Lakini yeye mwenyewe akasema: “Ni mimi.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite