36 Yule mutu akamujibu: “Bwana, unielezee yeye ni nani, kusudi nipate kumwamini.”
Basi namna gani watamusihi yule wasiyemwamini? Na namna gani watamwamini yule wasiyesikia habari zake? Na namna gani watasikia habari zake ikiwa hakuna wanaohubiri?
Yesu akageuka, akawaona wakimufuata, akawauliza: “Munatafuta nini?” Wakajibu: “Rabi (maana yake ‘Mwalimu’), unakaa wapi?”
kumwuliza Yesu: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”
Ewe unayependeza kuliko wabinti wote, huyo mupenzi wako ana nini cha zaidi ya mupenzi mwingine, hata utusihi kwa moyo mpaka pale?
Yesu akamwambia: “Umemwona, na ni yeye anayesema nawe sasa.”