19 na kuwauliza: “Huyu ndiye mwana wenu munayesema kama alizaliwa kipofu? Namna gani anaona?”
Lakini kufuatana na vile walivyomwona mutu yule aliyeponyeshwa akisimama pale pamoja nao, wakakosewa na la kusema.
Walipotambua kwamba yeye ndiye yule kiwete aliyekuwa akiikaa na kuombaomba musaada kwenye mulango wa hekalu unaoitwa “Muzuri,” wakashikwa na hofu na kushangaa sana na mambo yale yaliyomutokea.
Lakini wakubwa wa Wayuda hawakusadiki kama alikuwa kipofu na kwamba alikuwa sasa akiona mpaka walipowaita wazazi wake
Wazazi wake wakawajibu: “Tunajua hakika kwamba huyu ni mwana wetu na kwamba alizaliwa kipofu.