5 Kufuatana na Sheria, Musa alituamuru kuwaua kwa mawe wanawake wa namna hii. Sasa, wewe unasema nini?”
Kama mwanaume akifanya uzinzi na muke wa mwenzake, wote wawili wanapaswa kuuawa.
“Musizani kama nilikuja kuvunja Sheria ya Musa au mafundisho ya manabii. Mimi sikukuja kuvunja, lakini kukamilisha.
Kundi hilo la watu litawapiga mawe, litawashambulia kwa upanga na kuwaua wana wao na wabinti zao, na nyumba zao wataziteketeza kwa moto.
Yosefu, muchumba wake, alikuwa mutu wa haki, naye hakutaka kumupatisha haya mbele ya watu, akakusudia kuachana naye kwa siri.
na kumwambia Yesu: “Mwalimu, mwanamuke huyu amekamatwa akizini.