Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 8:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Kama Mwana akiwapatia uhuru, basi mutapata uhuru wa kweli.

Gade chapit la Kopi




Yoane 8:36
12 Referans Kwoze  

Hapa “Bwana” ni Roho; na pahali Roho wa Bwana anapokaa, pale kuna uhuru.


Kristo ametukomboa katika utumwa kusudi tukuwe huru kabisa. Basi, musimame imara wala musijitie tena katika vifungo vya utumwa.


Maana sheria ya Roho anayepana uzima kwa kuungana na Yesu Kristo imetuweka kuwa huru kutoka sheria ya zambi na ya kifo.


“Roho wa Bwana yuko pamoja nami, maana amenichagua niwahubirie wamasikini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kwamba watakombolewa nao vipofu kwamba wataona. Amenituma kuwapa wanaoteswa uhuru,


Roho wa Bwana wetu Yawe yuko pamoja nami, maana Yawe amenichagua, akanituma niwahubirie wanaoteswa habari njema, niwatunze waliovunjika moyo, niwatangazie waliohamishwa kwamba watapata uhuru, na wafungwa kwamba watafunguliwa.


Uniimarishie hatua zangu kama ulivyoahidi; usikubali mimi nitawaliwe na uovu.


Nitafuatilia amri zako, maana unanifungua akili zaidi.


Lakini nani anayeona makosa yake mwenyewe? Ee Mungu, unisamehe makosa nisiyoyajua.


Kwa maana mutumwa aliyeitwa kuwa wa Bwana, amepewa uhuru na Bwana. Hivi vilevile mutu mwenye uhuru aliyeitwa na Kristo, ni mutumwa wa Kristo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite