Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ninyi muende kwa sikukuu. Mimi sijaenda bado kwa sikukuu hii, kwa sababu wakati unaofaa kwangu haujatimia.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 7:8
9 Referans Kwoze  

Na Yesu akawaambia: “Wakati unaofaa kwangu haujatimia; lakini wakati wowote unafaa kwenu.


Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika hekalu, kwenye sanduku za kuwekea matoleo. Hakuna mutu aliyemufunga, kwa sababu wakati wake ulikuwa haujatimia.


Basi wakatafuta kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijatimia.


Alipokuwa akisema maneno haya, watu wengi wakamwamini.


Yesu akawaambia kwamba waende katika muji kwa mutu mumoja na kumwambia: “Mwalimu anasema: ‘Siku yangu inakaribia. Mimi na wanafunzi wangu tutakula karamu ya Pasaka kwako.’ ”


Lakini Yesu akamujibu: “Mama, kuna maneno gani kati yako nami? Saa yangu haijatimia bado.”


Alipokwisha kuwaambia maneno hayo, akabaki Galilaya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite