Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 7:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

51 “Kufuatana na Sheria, hatuwezi kumuhukumu mutu mbele ya kumusikiliza na kujua yale aliyofanya.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 7:51
8 Referans Kwoze  

Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.


Musipendelee mutu yeyote katika kutoa hukumu; mutawasikiliza bila upendeleo, wakubwa kwa wadogo. Musiogopeshwe na sura ya mutu, maana ninyi mutapaswa kuhukumu kwa ajili ya Mungu. Kukikuwa maneno ambayo ni magumu sana kwenu, mutayafikisha kwangu nami nitayasikiliza.’


Halafu Paulo akamwambia: “Mungu yeye mwenyewe atakupiga kofi, wewe unayeonekana kwa inje kama ukuta uliopakaliwa chokaa! Wewe unaikaa pale kwa kunihukumu kufuatana na Sheria. Lakini wewe mwenyewe unaivunja kwa kuamuru wanipige!”


Hata hivyo, atauawa ikiwa kuna ushuhuda wa watu wawili au watatu. Asiuawe ikiwa kuna ushuhuda wa mutu mumoja tu.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Mutu yeyote atakayeua mutu, atahukumiwa kifo kutokana na ushuhuda wa washuhuda wawili au zaidi; mutu yeyote hawezi kuhukumiwa kifo kutokana na ushuhuda wa mutu mumoja.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite