Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 7:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Lakini watu hawa wasiojua Sheria ya Musa wamelaaniwa.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 7:49
11 Referans Kwoze  

Wafarisayo wamoja waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno haya, wakamwuliza: “Ni kusema sisi ni vipofu vilevile?”


Wakamujibu: “Wewe, uko mwenye zambi kabisa tangu kuzaliwa kwako! Unataka kutufundisha?” Halafu wakamufukuza inje.


Wanawaambia wale wanaokutana nao hivi: Muikae mbali nami; musinikaribie kwa sababu mimi ni mutakatifu! Watu hao wananikasirikisha sana, hasira yangu ni kama moto usiozimika.


Basi, musikilize neno la Yawe, enyi wenye mazarau munaotawala watu wa Yerusalema:


Ole kwao wanaojiona kuwa wenye hekima na akili.


Ni nani kati ya wakubwa wetu au kati ya Wafarisayo aliyemwamini?


Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu mbele, alikuwa mumoja wa Wafarisayo waliokuwa pale. Akawaambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite