Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 7:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

48 Ni nani kati ya wakubwa wetu au kati ya Wafarisayo aliyemwamini?

Gade chapit la Kopi




Yoane 7:48
12 Referans Kwoze  

Hata hivi wengi kati ya wakubwa wa Wayuda wakamwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Wafarisayo, hawakushuhudia kwamba wameamini. Waliogopa kwamba watatengwa wasiingie katika nyumba ya kuabudia.


Hakuna hata mutawala mumoja kati ya watawala wa dunia hii aliyeelewa hekima ile. Kama wangeielewa wasingemutundika Bwana wa utukufu juu ya musalaba.


Basi, tuseme nini juu ya wenye hekima, walimu wa Sheria, nao wafundi wa usemi siku hizi? Mungu ameonyesha wazi kwamba hekima ya dunia hii ni upumbafu!


Angalia, anasema waziwazi wala hawamwambii neno! Labda wakubwa nao wametambua kweli kuwa huyu ndiye Kristo.


Basi Neno la Mungu likazidi kuenea katika Yerusalema na hesabu ya wanafunzi ikaongezeka sana kule na makuhani wengi wakaamini.


Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu mbele, alikuwa mumoja wa Wafarisayo waliokuwa pale. Akawaambia:


Katika siku zile Yesu akasema: “Ee Baba, Mwenyeji wa mbingu na dunia, ninakushukuru kwa maana mambo uliyoyaficha kwa watu wenye hekima na elimu, umeyafunua kwa wanaokuwa wadogo.


Basi Pilato akafanya mukutano wa wakubwa wa makuhani, nao wasimamizi wa watu pamoja na watu wao.


Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Nikodemo, mukubwa wa Wayuda, aliyekuwa mumoja wa kundi la Wafarisayo.


Lakini watu hawa wasiojua Sheria ya Musa wamelaaniwa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite