Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 7:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Basi kukatokea mikorogano katika kundi juu ya Yesu.

Gade chapit la Kopi




Yoane 7:43
7 Referans Kwoze  

Kwa sababu ya maneno haya kukatokea tena mikorogano kati ya Wayuda.


Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao.


Katika kundi lile kulikuwa manunguniko mengi juu yake. Wamoja walisema: “Yeye ni mutu muzuri.” Wengine walisema: “Hapana, si vile, yeye anawadanganya watu.”


Watu wa muji wakatengana: wamoja walikuwa upande wa Wayuda na wengine upande wa mitume.


Munazania kwamba mimi nimekuja kuleta amani katika dunia? Ninawaambia ninyi: si vile, nimekuja kuleta matengano.


Kwa maana nimekuja kuleta matengano kati ya mutu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mukwe na mama mukwe;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite