Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 6:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Babu zenu walikula mana katika jangwa, lakini wakakufa.

Gade chapit la Kopi




Yoane 6:49
8 Referans Kwoze  

Ijapokuwa mumekwisha kujua kabisa mambo haya yote, ninataka kuwakumbusha namna Bwana alivyowaokoa Waisraeli kutoka katika inchi ya Misri, lakini kisha, akawaangamiza wale waliokataa kuamini.


Huu ndio mukate ulioshuka toka mbinguni, nao si kama mukate ule babu zenu waliokula katika jangwa na kufa. Anayekula mukate huu ataishi milele.”


Babu zetu walikula mana katika jangwa, kama ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Aliwakulisha kwa mukate uliotoka mbinguni.’ ”


Babu zenu, wako wapi? Na manabii, wanaishi milele?


Yawe alikuwa amesema kwamba wote watakufia katika jangwa, na kweli hakuna hata mumoja wao aliyebaki muzima, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite