Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 6:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Watu wale wakamukuta Yesu kule ngambo ya ziwa na kumwuliza: “Mwalimu, ulifika hapa wakati gani?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 6:25
6 Referans Kwoze  

Wanapenda vilevile kusalimiwa kwa heshima kwenye nafasi za makutano, na kuitwa ‘Mwalimu.’


Walipokwisha kuvuka ziwa, wakafika pande za Genezareti.


Lakini ninyi musikubali kuitwa ‘Mwalimu’, kwa maana ninyi wote ni wandugu, nanyi muko na Mwalimu mumoja tu.


Walipovuka ziwa, wakafika katika inchi ya Genezareti, wakaezeka chombo kwenye kivuko.


Wakati ule wanafunzi wa Yesu walimusihi, wakisema: “Mwalimu, kula chakula.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite